Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, December 28, 2025

YATIMA WAFURAHIA ZAWADI ZA X MASI

                          Shekidele akiwasili kitio cha Mehayo
            .........Akikabidhi zawadi ya Neti kwa watoto hao




Mwana Birthday huyo akitoka nyumbani na usafirir wake wa baiskeli akielekea kwa waendwa wake kukata hao keki kwenye kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa


 

               Na Dunstan Shekidele.Morogoro.
WATOTO Yatima na wale wenye ulemavu wa utindio wa Ubongo wanalelewa katika kituo Cha Mehayo kilichopo Mazimbu Manispaa ya Morogoro jana wamefurahia zawa za Siku kuu ya Chris Masi walizokabidhiwa na Msamalia Mwema.
 
Msamalia Mwema huyo Dunstan Shekidele ambaye jana Disemba 25 ilikuwa ni kumbukizi yake ya mfanano wa siku yake ya kuzaliwa 'Happy Birthday's aliamua kwenda kusheherekea siku yake hivyo na Watoto hao wenye uhitaji wa faraja na vitu mbali mbali.
 
Hata hivyo Mwana Birthday huyo alipofika kituo hapo alikuwakuta Watoto wachacha tofauti na miaka yote anaposheherekea Birthday yake na Watoto hao.
 
Hivyo kabla ya kukabidhi zawadi hizo Shekidele alimuliza Matron wa Watoto hao Bi Esther Daniel kwamba Watoto wengine wako wapi? 
 
Alisema wamechukuliwa na mmoja ya chuo kikuu Cha Mkoani Morogoro mtandaoo unahifadhi jina la chuo hicho kwa sababu huenda wenyewe hawakupenda jambo hilo litangazwe.

"Chuo kikuu (anakitaja jina) asubuhi wametuma basi limewachukua Watoto zaidi ya 20 wamekwenda kula.nao siku kuu kwenye chuo chao.wamebaki hawa wachache na Mungu alivyo MKUBWA na wewe kama kawaida yako kila Mwaka siku kama ya Leo unakuja hapa kituoni kushiriki.Birthday yako na Watoto hawa huu.ni upendo Mkubwa sana'alisema Matron huyo.
 
Baadhi ya maelezo hayo Mwana Birthday huyo alikata keki.na kula.na familia yake hivyo ya Upendo.
 
Baada ya zoezi hilo kukamilika Shekidele alikwenda kwenye Bonet la Baiskeli yake akitoa mizigo na kuwakabidhi Watoto hao.
Zawadi hizo ni Nguo.Viatu.Juice na vyandarua'Net'
 
                            KWA NINI NET?
Kwenye Birthday ya Mwaka jana Matron Esther akitoa neno la shukrani kwa Shekidele alisema maneno yaliyomchoma.mwana Birthday huyo na maneno hayo.ni haya.
 
"Tunakushukuru sana kaka Shekidele kwa kuwakumbuka hawa Watoto na kuwaletea zawadi hizi ungeweza kufanya sherehe yako ya Birthday kwenye baa yoyote lakini umeona uje kusheherekea na hawa Watoto wanaohitaji faraja kama hii barikiwa

Friday, December 26, 2025

MUNGU ARUHUSU YESU KUZALIWA NDANI YA ZIZI LA MBUZI





 

TAIFA la watu wa Mungu, familia ya Mungu, duniani kote leo Desemba 25 wanashehereke kumbukizi ya kuzaliwa Mesia Yesu Kristo[Nabii lssa] aliyetajwa kwenye vitabu vyote vya dini. 
 
Kumbukizi hiyo 'Happy Birthday ' imepewa jina la Mery Chrismas ambapo wakristo wote duniani wanaadhimisha siku hiyo kwa kufanya matendo mema sambamba na kwenda nyumban za lbada
Katika hali ya kushangaza Mama Mzazi wa Yesu Bikira Maria mara baada ya kuhisia anaujauzito alipasa sauti akisema
" toka nizaliwe simjui Mwanaume hii Mimba nimeipataje? 
 
Malaika wa bwana akamtokea akamwambia usihofu huyo ni Mwana wa Mungu na utazaa hivi karibu. 
 
Baada ya siku kadhaa mbele Desemba 25 Bikira Maria alijifungua Mtoto wa Kiume ndani ya zizi la Ng’ombe na akapewa jina la Yesi Kristo Mokozi wa Ulimwengu. 
 
Mara baada ya Yesu kufanya maajabu makubwa ya kimungu Wapinzania wake walimteka na kumfunga majeredi na mataji ya Miba wakamtundika msalabani na kumueleza maneno ya dhihaka
Wayahudi hao walimdhihaki kwa kusema _Wewe si unajifanya Mwana waungu jiokoe sasa hapo msalabani"
Baadae walimshusha Msalabani na kwenda kumzika kwa mshangazo wawengi baada ya siku tatu yesu alifufuka, kaburi lake lilifunikwa na mawe makubwa lilifunuka kwa miujiza ya Mungu mwana huyo wa Mungu akapaa Mbinguni kwa baba yake.
FAMILIA YA SHEKIDELE
Familia ya Shekidele kupitia kwa Bi. Tumain Samwel Juma Mshimbula’Mrs Shekidele’Desemba 25 miakaa kadhaa iliyopita Mama huyo alipata ujauzito na kukimbizwa hospital ya Bombo jijini Tanga siku hiyo hiyo ya Desemba 25 alijifungua Mtoto wa kiume aliyepewa jina la Ubatizo Dustan Shekidele.
Hivyo familia hiyo ya Shekidele leo Desemba 25 inaungana wa watu wote waliozaliwa siku ya leo akiwemo Mesi wetu Yesi Kristo. Naendelea
Keki yangu leo nakwenda kuikata na kuila na watoto yatima kwenye moja ya vituo vya kulelea watoto hao huku pia nikiwabebea zawadi kadhaa.
Nakushukuru MUNGU kwa kendelea kunipa zawadi ya Uahi sina chakukulipa Zaidi ya kuendeleakutenda mambo mema yanayokupendeza wewe na malaika wako
“Happy Birthday to Me”
SHUKRANI.

Tuesday, December 16, 2025

HATIMAYE WATU WAMEANZA KUVUKA DARAJA LA RELWE.









 


            Na Dustan Shekidele,Morogorto.

MOSHI Mweupe umeanza kuonekana eneo la daraja la Relwe almaarufu daraja la Ng’ombe.

 

Jana  majira ya asubuhi Mtandao huu ulikatiza eneo la mradi huo unaojengwa na Mkandarasi Mzawa kampuni ya Cope ya Mkoani Morogoro na kushuhudia mafundi wakiendelea na kazi kwa kasi jana Jumapili.

 

Akizungumza na Mtandao huu fundi Mmoja aliyeomba hifadhi ya jina lake kwa sababu yeye si msemaji wa kamuni hiyo.aliutonya mtandao huu kwamba jana hiyo hiyo majira ya mchana watembea kwa miguu wataruhusiwa kupita kwenye daraja hilo,

 

‘’Baada ya kupanga haya mawe kwenye kingo za daraja mchana mtambo utaingia mtoni kuchimba kwa lengo la kuongeza kina na mto, hivyo lile daraja la muda ambalo liko pale tutalivunja kutanua mto.

 

Hivyo tutawaruhusu watu kupita kwenye kwenye  daraja jipya  ukija mchana utashuhudia watu wakipita’’Alisema  mafundi  huyo.

 

Alipoulizwa litakamilika lini alijibu.

’’ Daraja hili liko hatua za mwisho kukamilika kama ni kwenye mpira ni dakika ya 88’’alisema fundi huyo.

Jana hiyo hiyo majira ya mchana Mtandao huu ulikatiza tena kwenye daraja hilo na kushuhudia watu wakivuka kwenye daraja hilo huku wakitabasamu.

 

Akijojiwa na Mtandao huu mmoja wawananchi wa eneo hilo Thabiti Mgalula alisema’’ Tunaishukuru serikali kwa kutujengea daraji hili la zuri tumafurahi leo tumeanza kulitumia kama unavyojua shekidele mimi naishi kota za Reli na mahitaji yetu muhimu yako ng’ambo ya daraja hili’’ alisema Mgalula ambaye ni mchezaji wa zamani wa Reli ile ya Kiboko ya Vigogo akicheza winga ya kulia.

 

 Vile vile mtandao huu ulishuhudia Mtandao ukiwa ndani ya mto ukichimba kwa lengo la kuongeza kina cha urefu wa mto huo wa Morogoro unaotoka  juu ya milima ya Uluguru kuelekea Mkoani Pwani.

 

Wednesday, December 3, 2025

HEKIMA ZA


UJUMBE WA LEO.
Siku zote Paka Mwenye busara hawindi Panya Mwenye Mimba.
Hali kadhalika mara nyingi Mbwa hana thamani kwa bosi wake.
Licha ya Mbwa huyo kumlinda bosi wake usiku na mchani lakini baaadhi ya mabosi wengi hawampi thamani Mbwa huyo vile inavyo stahiki.
Tumeshuhudia mara nyingi Mbwa analishwa mifupa iliyobakishwa na bosi wake kiswahiri Cha mtaani analishwa makombo.


 
Pia bosi huyo na familia yake wanaweza kula wakashina wakiniandaa kulala utasikia hivi yule Mbwa mmempa.chakula?
Pichani Mwandishi wa habari hizi akiwa na Paka wake mida hii ya asubuhi akimuandalia chakula.

VITUKO VYA MWEZI JANUARI

  Mwezi uliopita tumeshehelekea Siku Kuu mbili X Mas na Mwaka Mpya.   Mwezi huu dume January tunashehelekea kulipa Ada za Shule na kod...