Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, September 20, 2025

MASHINDANO YA MAGARI AFRIKA YATIMUA VUMBI MOROGORO


 

Muda huu naendelea kukusanya matukio ya mbio za Magari Afrika zilizoanza Jana Mkoani Morogoro eneo la Tubuyu Mnada wa Ng’ombe uliopo Jirani na uwanja wa Maonyesho ya Kilimo[Nane Nane Kanda ya Mashariki].

 

Mbio hizo zinazoshirikisha Madereva kutoka nchini mbali mbali za Bara a Afrikas  zinaendelea leo eneo la Mkundi na Kutamatika kesho Septemba 21 kwenye Kiwanda cha Tumbaku cha Mkwawa Mkoani Morogoro.

 

Kwa matukio zaidi endelea kuwa jirani na Mtanda huu muda wote

[Picha na Dustan Shekidele Morogoro].

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...