Picha no
Ahmed na msomaramani wake Vill Oslaj kulia wakiwa juu ya gari huku
wakishangalia.
Picha no 2.3
na 4 Shanto na mdogo wake wakikumbatiana kwa furaha baada ya kuibuka washindi.
Picha no 3
Shantona Weleed wakiwa na watoto zao
Picha no 4
Shanto na Waleed wakiwa na vikombe.
Picha no 5
Waleed wapambe wake akiwa juu ya gari lake lenye rangi nyekundu baada ya
kuibuka mshindi.
Na Dustan Shekidele,Morogoro.
WATU
wanaposema Morogoro ni Mkoa wa Vipaji.hawatanii wanamaanisha ukweli mtupu, kauli hiyo Imeendelea kuthibitishwa wiki iliyopita
baada ya madereva wa magari wana Morogoro watatu kunyakua ubingwa wa mbio za
magari Afrika.
Wana Morogoro
hao walioshinda ni Ahmed Huwel kutoka kiwanda cha Tumbaku cha Mkwawa Morogoro aliyeshika
nafasi ya kwanza na Shanto Nahdy pia
kutoka Mkwawa alinyakua nafasi ya pili huku Mdogo wake Waleed Nahdy akitwaa
nafasi ya tatu.
TUJIKUMBUSHE
Mwaka 2003
Mwana Morogoro Mwisho Mwampamba alishika nafasi ya pili ya Mashindano ya Big
Brather Afrika ‘BBA’ ndani ya jumba la sanaa nchini Afrika Kusini,
Mwaka
uliofuata 2004 Mwana Morogoro Seleman Msindi Afande Sele alinyakua Ubingwa wa
Mfalme wa Rhymes Tanzania ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es
salaam.
Kama hiyo aitoshi Bondia Francis Cheka
alinyakua ubingwa wa Ngumi Tanzania baada ya kuwatwanga mabondia mbali mbali ikiwemo
familia nzima ya masumbu ya Matumla,
Baada ya
Cheka kuchuja kamuachia Grops Mdogo wake Cosmas Cheka ambaye naye aliuwasha
Moto ule ule uliowashwa na kaka yake.
Baada ya
familia hiyo ya Cheka Kupotea kwenye Ngumi kwa sasa wameibuka Mabondia wengine
wana Morogoro Twaha Kassim Maarufu Twaha
Kidugu Mzee wa Bendera Chuma Mlingoti Chuma’Show Show’ na Karim Mandonga ‘Mtu
kazi’ mzee wa Ngumi kirumbi rumbi,
Kwenye Soka
sasa wana Morogoro wako wengi lakini kwa sasa niwataje wachake Dickson Job
Kibwana Shomari Abuutwarib Msheri wote hao ni wachezaji tegemo wa Yanga,
Kwa upande
wa Simba yupo Shomari Kapombe, Abdulrazake Spear Hamza na Mzamiru Yassim ambao
pia ni tegeo la Simba,
Wana
Morogoro wengine ni Aishi Manura,Pascal Msindo na Teps Evans wanaokipiga Azam
Fc.
Kama kawaida
Mtandao huu umekusanya habari kibao za chini ya kapeti hivyo endelea kuwa
jirani na Mtandao huu muda wote,
CAPTION
Picha no
Ahmed na msomaramani wake Vill Oslaj kulia wakiwa juu ya gari huku
wakishangalia.
Picha no 2.3
na 4 Shanto na mdogo wake wakikumbatiana kwa furaha baada ya kuibuka washindi.
Picha no 3
Shantona Weleed wakiwa na watoto zao
Picha no 4
Shanto na Waleed wakiwa na vikombe.
Picha no 5
Waleed wapambe wake akiwa juu ya gari lake lenye rangi nyekundu baada ya
kuibuka mshindi.
HII NDIO
MORO YA VIPAJI.
WANA
MOROGORO MTU NA MDOGO WAKE WANYAKUA UBINGWA WA MAGARI AFRIKA.
Na Dustan Shekidele,Morogoro.
WATU
wanaposema Morogoro ni Mkoa wa Vipaji.hawatanii wanamaanisha ukweli mtupu, kauli hiyo Imeendelea kuthibitishwa wiki iliyopita
baada ya madereva wa magari wana Morogoro watatu kunyakua ubingwa wa mbio za
magari Afrika.
Wana Morogoro
hao walioshinda ni Ahmed Huwel kutoka kiwanda cha Tumbaku cha Mkwawa Morogoro aliyeshika
nafasi ya kwanza na Shanto Nahdy pia
kutoka Mkwawa alinyakua nafasi ya pili huku Mdogo wake Waleed Nahdy akitwaa
nafasi ya tatu.
TUJIKUMBUSHE
Mwaka 2003
Mwana Morogoro Mwisho Mwampamba alishika nafasi ya pili ya Mashindano ya Big
Brather Afrika ‘BBA’ ndani ya jumba la sanaa nchini Afrika Kusini,
Mwaka
uliofuata 2004 Mwana Morogoro Seleman Msindi Afande Sele alinyakua Ubingwa wa
Mfalme wa Rhymes Tanzania ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es
salaam.
Kama hiyo aitoshi Bondia Francis Cheka
alinyakua ubingwa wa Ngumi Tanzania baada ya kuwatwanga mabondia mbali mbali ikiwemo
familia nzima ya masumbu ya Matumla,
Baada ya
Cheka kuchuja kamuachia Grops Mdogo wake Cosmas Cheka ambaye naye aliuwasha
Moto ule ule uliowashwa na kaka yake.
Baada ya
familia hiyo ya Cheka Kupotea kwenye Ngumi kwa sasa wameibuka Mabondia wengine
wana Morogoro Twaha Kassim Maarufu Twaha
Kidugu Mzee wa Bendera Chuma Mlingoti Chuma’Show Show’ na Karim Mandonga ‘Mtu
kazi’ mzee wa Ngumi kirumbi rumbi,
Kwenye Soka
sasa wana Morogoro wako wengi lakini kwa sasa niwataje wachake Dickson Job
Kibwana Shomari Abuutwarib Msheri wote hao ni wachezaji tegemo wa Yanga,
Kwa upande
wa Simba yupo Shomari Kapombe, Abdulrazake Spear Hamza na Mzamiru Yassim ambao
pia ni tegeo la Simba,
Wana
Morogoro wengine ni Aishi Manura,Pascal Msindo na Teps Evans wanaokipiga Azam
Fc.
Kama kawaida
Mtandao huu umekusanya habari kibao za chini ya kapeti hivyo endelea kuwa
jirani na Mtandao huu muda wote,