Na Dustan Shekidele,Morogoro.
Siku chake baada ya bondia Maarufu nchini asiyeishiwa na vituko Karim Mandonga ‘Mtuka Kazi’ kuchezea vitasa vyas maana vya mpinzania wake ldd Kaoneka.
Jana kundi la Mashabiki wa Yanga, Simba na timu ya Taifa ya Tanzania ‘wana Robo fainali ya CHAN 2024 Taifa Stars’ wajikuta wakitoa tofauti zao za usimba na Yanga nakujikuta kwa pamojua wakikumbatiana kwabashasha na uendo wakimvaa Mtukazi Mandonga.
Tukio hilo lililoshuhudia Live bila Chenga na Mtandao huu limetokea jana jioni Mtaa wa Makongoro eneo la Lunna katikati ya Mji wa Morogoro unaoongozwa na Mkuu wa Mkoa Adam Kigoma Malima.
Mara baada ya kumuona mpiga picha wa Mtandao huu Mandonga aliliuka kwa furaha na kumkumbatia Mpiga picha huyo huku akisema’ Mwamba Shekidele Ez Come Ez Go’
Baada ya salam Mpiga picha huyo alimuliza Mandonga kwa nini yuko hapo na Familia yake?
Majibu yake haya hapa” Shekidele huyu Mwanangu mdogo ambaye siku ile nilikualika uje nyumbani kwenye shughuri yake ya ‘Suna’ anaumwa hivyo mimi na Wife tumemleta hapa hospital ya Ahmadyya.
Tunashukuru tumehudumiwa vizuri hivyo wanarejesha nyumbani na nini niendelee na mishe zangu” Alisema Mandonga huku akiingia kwenye gari lake eneo la Dash Bord amejaza magropsi ya Vitasa.





No comments:
Post a Comment