Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, August 17, 2025

BIG MARCH MANCHESTER UNITED DHIDI YA ARSENAL.





 


TIMU Kabambe ya Arsenal ‘Chama a Wana’ Usiku huu wameiadhibu ‘Kibonde chao’  Manchester United kwa kuichapa bao 1-0 Bao hilo pekee imefungwa mapema dakika 13 na fundi wa mpira  R. Calafion

 

Bao hilo lilitosha kukata ngebe za mashabiki wa Man U walijazana kwenye uwanja wao wa Tofari za kuchoma Old Trafford.

 

Kwa sasa sisi mashabiki wa Arsenal ni Mwendo wa kupiga ‘Pushapu’pichani shabiki lia lia wa Arsenal Washikabunduki wa London anayejulikana kwa jina la Dustan Shekidele akiwa kwenye matukio mbali mbali na jezi za Arsenal.

 

No comments:

Post a Comment

VITUKO VYA MWEZI JANUARI

  Mwezi uliopita tumeshehelekea Siku Kuu mbili X Mas na Mwaka Mpya.   Mwezi huu dume January tunashehelekea kulipa Ada za Shule na kod...