Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, March 1, 2025

WANANCHI MORO NA TANGA WAMLILIA MCHEZAJI MAARUFU NCHINI



 

MAMIA ya wananchi  Mikoa ya Morogoro na Tanga wamlilia mchezaji chipukizi wa timu za Burkinafaso na Mawenzi Market za Morogoro alizozitumikiwa kwa nyakati tofauti zikiwa Ligi daraja la kwanza Tanzania Bara.

Mzazi mwenzie ambaye ni Mwamuzi[Refa] Maarufu mkoani Morogoro ambaye ni Mjamzito ameanguka na kupoteza fahamu jana wakati akimuaga mzazi mwenzie huyo aliyezikwa Leo Mkoani Tanga.

Kama kawaida Mwandishi wa  Mtandao huu amekusanya matukio kibao kwenye msiba huo hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote kushuhudia matukio hayo likiwemo hilo la Refa kupoteza fahamu na picha za mchezaji wa Yanga aliyeshiriki Msiba huo.

No comments:

Post a Comment

LIGI YA MABIGWA BARA LA ULAYA.ARSENAL AMFANYIA KITU MBAYA BINGWA MTETEZI

              Na Dustan Shekidele. WASHIKA Bunduki wa Jiji la Maraha la London nchini England Arsenal   usiku wa leo imeishangaza duni...