Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, March 1, 2025

WANANCHI MORO NA TANGA WAMLILIA MCHEZAJI MAARUFU NCHINI



 

MAMIA ya wananchi  Mikoa ya Morogoro na Tanga wamlilia mchezaji chipukizi wa timu za Burkinafaso na Mawenzi Market za Morogoro alizozitumikiwa kwa nyakati tofauti zikiwa Ligi daraja la kwanza Tanzania Bara.

Mzazi mwenzie ambaye ni Mwamuzi[Refa] Maarufu mkoani Morogoro ambaye ni Mjamzito ameanguka na kupoteza fahamu jana wakati akimuaga mzazi mwenzie huyo aliyezikwa Leo Mkoani Tanga.

Kama kawaida Mwandishi wa  Mtandao huu amekusanya matukio kibao kwenye msiba huo hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote kushuhudia matukio hayo likiwemo hilo la Refa kupoteza fahamu na picha za mchezaji wa Yanga aliyeshiriki Msiba huo.

No comments:

Post a Comment

MAKALA PLANET NDONDO CUP. SIRI DAMU CHAFU KUTWAA UBINGWA MARA MBILI MFURULIZO HII HAPA.

  Baadhi ya mashabiki waliofulika kwenye mashishindano hayo.                           .....Kikosi cha Damu chafu Mkuu wa Wilaya Mhe Kilakal...