Sunday, October 6, 2024
HAYATI RHUMBA BOY ENZI ZA UHAI WAKE AKINYAKUA UBINGWA WA mKOA
Hii ni mwaka 2000 hayati Rhumba Boy alivyofanikiwa kunyakua Ubingwa wa disko Mkoa wa Morogoro.
Toka kipindi hicho hayati Rhumba alifanikiwa kiulihifadhi gazeti hili la Dar Leo kama kumbukumbu yake k wa wanae na wajukuu zake.
Hii Leo mjane wa marehemu amenionyesha gazeti Hilo na kisha kuendele kulihifadhi picha hii ilipigwa na Mwandishi wa Mtandao huu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.
Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...
-
Mwandishi wa Mtandao akiwa juu ya Mlima Uluguru Mgeta Wilaya ya Mvomero Mwandishi wa Mtandao huu akiwa juu ya Milima hiyo ya Uluguru ak...
-
Na Dustan Shekidele,Morogoro. REHEMA za Mwenyezi Mungu na ziwe juu yenu wadau wote wa Mtandao Pendwa wa Shekid...
-
Morgoro Mji kasoro Bahari. ndiyo kauli ya Waluguru wa Mkoa wa Morogoro. Hii sio Meli na wala sio Uwanja wa Ndege 'Air Port' ni st...

No comments:
Post a Comment