Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, August 1, 2024

MOTASOA MABINGWA WAPYA LIGI DARAJA LA 4 WILAYA YA MOROGORO


Mtunza fedha wa chama cha Soka Wilaya ya Morogoro'MMDFA' Sophia Kalinga [kati] mwenye kombe akiwa na baadhi ya wacheza wa MOTASOA Mara baada ya timu hiyo kukabidhiwa kombe hilo jana

 TIMU ya Morogoro Tanzanite Soka Academy [MOTASOA] Under 20  Jana imefanikiwa kutwaa Ubingwa wa Ligi  daraja la Nnne Wilaya ya Morogoro.

Habari na picha zaidi za tukio hilo zitaruja hewani hivi punde hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote

No comments:

Post a Comment

MAKALA PLANET NDONDO CUP. SIRI DAMU CHAFU KUTWAA UBINGWA MARA MBILI MFURULIZO HII HAPA.

  Baadhi ya mashabiki waliofulika kwenye mashishindano hayo.                           .....Kikosi cha Damu chafu Mkuu wa Wilaya Mhe Kilakal...