Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, June 16, 2024

KUMBUKIZI.YA MASTAA WA NYIMBO ZA INJIRI


Mastaa wengi wa nyimbo za injiri nchini wanatoka Mkoa wa Mbeya.

PIchani ni baadhi ya mastaa hao ni pamoja na Bahati Bukuku[kulia] Matha Mwaipaja[kati] na Starah Thomas.

  Mastaa hao wakipozi mbele ya kamera za Mtandao huu.



 Picha no 2 Stara Thomas akihojiwa na Mwandishi wa habari hii kuhusiana na yeye kuwa vugu vugu, mchana anaimba nyimbo za lnjiri[za kumtukuza Mungu] na usiku anaimba nyimbo bongofleva[Vimbo za kidunia]

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...