Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, March 11, 2024

WAISLAM KESHO WANAINGIA KWENYE MFUNGO WA RAMADHAN.

 

MUFTI Mkuu wa Tanzania ametangaza kwamba, Mwezi umeandama jioni ya Leo, hivyo kesho A

March 12 rasmi ndugu zetu waislam wanaingia kwenye mfungo wa siku 30.



 

Mtandao huu unawatakia kila lenye kheri Waisjamu wote watakaojaliwa kutimiza nguzo hii muhimu.

Aidha Mtandao huu unamuomba Mwenyezi  Mungu Mwingi wa Rehemu kuwasamehe Waislam wote wenye udhuru unaopelekea kushindwa kufunga. 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...