Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, March 10, 2024

PICHA KALI YA WIKI

 

MTU KATI.

Kundi la Waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es salaam wakimuweka mtu kati kocha Msaidi wa Simba Seleman Matola, wakizungumza naye mara baada ya timu yake kupokea kichapo cha bao 2-1 kutoka kwa

Maafande wa Tanzania Prinson’Wajela jela kutoka jijini Mbeya  wiki iliyopita uwanja wa Jamhuri Morogoro.Picha na Dustan Shekidele,Morogoro.
 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...