Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, March 21, 2024

PICHA YA WIKI. MAPAPARAZI KAZINI.


 


Wapiga Picha kutoka vyombo mbali mbali vya habari wakiwa kazini uwanja wa Jamhuri Morogoro.

Kutoka [[kuliani] ni ‘Mjeshi’Malima Mpiga Picha kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania’JWTZ’.

[Kati]. Ni  Mwamba Warioba kutoka Magazeti ya Uhuru na Mzalendo.

Mwisho kushoto Mwenye Pensi ni Mwandishi wa Mtandao huu Dustan Shekidele.Ez Come Ez Go.

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...