Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, February 26, 2024

TASWIRA MABINGWA WA NDONDO CUP KUWAREHEMU MAREHEMU

Na Dustan Shekidele,Morogoro.

HII imekaa poa, juzi Mtandao huu uliripoti habari ya timu ya Black People’Taifa la Watu Weusi’ yenye maskani yake Jijiga jirani na stend ya daladala ya Kaloleni Kata ya Mji Mpya, kufanya ibada maalumu ya kuwarehemu  wachezaji na wadau wa soko waliotangulia mbele za haki.

Baada ya kunyakua ubingwa wa Michuano ya Ndondo Cup iliyoandaliwa na Mdau mmoja wa Soka na kukabidhiwa kombe na pesa taslimu Milioni mbili.

Uongozi wa Black People umeamua kutumia pesa hizo kuandaa lbada hiyo ya kuwaombe marehemu iliyoongozwa na Shehe Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Shehe Thiney Jaffar. Mara baada ya dua Shehe Jaffar alisoma majina ya marehemu hao wake kwa waume wakiwemo pia wachezaji na wadao wa soka wa Mkoa wa Morogoro.

    

Shehe Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Sherhe Thiney Jaffar akisoma majina hayo ya marehemu
Cheki picha za majija ya marehemu hao unaweza kuliona jina la mpendwa ndugu yako ambaye alitajwa kwenye ibada hiyo iliyofanyika juzi ljumaa uwanja wa Shujaa Mji Mpya.






Viongopzi wa timu Nane zilizsoshiriki mashindano hayo ya Ndondo Cup Rais wa Damu Chafu Auyu Azz mwenye penzi aliyesimama na mbele yake mwenye kanzu aliyerketi ni Rais wa Wakushi Fc Manzese United Faraji

Ndugu zangu nawasihi na kuihusia pia nafasi yangu kuache maasi na turejee kwa Mwenyezi Mungu.

Angalia orodha hii ya ndugu zetu zote hao wamefariki dunia, juzi tulifanya ibada maalumu ya kuwarehemu.

Mtandao huu unamuomba mwenyezi Mungu awapunguzie adhabu ya Kabri wapendwa wetu hawa na kuwaweka wanapostahiri Kwa kadri walivyoishi hapa duniani.




Nahodha wa timu ya Washashi ya Mji Mpya Said Kapetera naye akificha chakula hiyo ya Mtume. lfahemeke kwenye michuano hiyo ya ndondo Cup Black People alimchapa Washisha bao 1-0

.



 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...