Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, October 28, 2023

MIDOMO YA MALAYA.


 



Mithali 5.1-3

“Mwanangu  sikiliza hekima yangu Tega sikio lako Mzisikie akili zangu.

Upate kulinda busara  na Midomo yako iyahifadhi maarifa.

Maana midomo ya malaya hudondoza asali,na kinywa chake ni laini kuliko mafuta” Hilo ndilo neno letu la Leo Jumapili ya October 29.

                         CAPTION


Mama yangu Mzazi Bi, Tumain Samwel Juma. Mrs Shekidele.

Mama yetu Kipenzi mimi na ndugu zangu tunaendelea kuishi vizuri tukiongozwa na hekima zako ulizotupatia toka tukiwa wadogo.

Kwa sasa Mama  unaumwa tunaendelea kumuomba MUNGU akuponye.

Pichani  Bi Mkubwa nilikubeba kwenye Pikipiki nikakupeleka hospital kupata matibabu, niyo ni Moja ya busara ulizonifundisha niishi nayo siku zote za Maisha yangu.

 Kwa Msaada wa Mungu nitaendelea kufanya hivyo kwa watu wote mpaka naingia kaburini.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...