Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Tuesday, October 17, 2023

KUMBUKIZI YA MASTAA ‘WAHENGA’ WA YANGA.


 


Kutoka Kulia Edibili Lunyamila’Winga teleza hadi leo sidhani kama lekodi yake ya uchezaji imevunjwa’

Kati Kiungo ‘ Udambwi udambwi’ Mjambara Sikilojo Chambua’ baada ya soka sasa hivi ni mchambuzi wa soko akilichamboa soka kama lilivyo jina lake.

Kushoro Poul John Masanja’PJM’ Msukuma wa kwanza kuvaa jezi za Yanga kwa nafasi ya Ushambauliaji Mishuti yake Aziz K ey akasome. Na Dustana Shekidele, Morogoro.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...