Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Wednesday, September 27, 2023

KUMBUKIZI. YA STAA WA PAMBA YA MWANZA


 


Ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Dustan Shekidele ‘Mkude Simba’ Ez Come Ez Go.

Nikipiga Stori na Mchezaji nyota wa zamani wa Pamba ya Mwanza na timu ya Taifa ya Tanzania'Taifa Stars' Fumo Felisiani’Mzee wa Mashuti’[kulia] ambaye kwa sasa anakipiga timu ya Mwanza Veterani.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...