Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, July 27, 2023

KUMBUKIZI.,MH ABOOD KUKUTANA NA VIONGOZI WA CHADEMA

 

Upinzania sio Uadui,Mbunge wa Jimbo la Morogoro kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi[CCM]Jimbo la Morogoro kwa Zaidi ya miaka 15 mfurulizo Mh Aziz Abood[kulia aliyeweka mkono mfukoni] akizungumza na Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo[[CHADEMA] Mkoa wa Morogoro.

Viongozi hao vya Vyama Vikuu vya Upinzania nchini walinaswa na kamera za Mtandao huu Miaka 9 iliyopita wakiteta jambo baada ya kukutana kwenye  Msiba wa  Mtu Maarufu Mkoa wa Morogoro.

Pichani nawakumbuka viongozi wawili wa Chadema waliovaa  flana za mistaristari, Mh Juma Tembo aliyekuwa Diwani wa Kata ya Tungi kwa leseni ya Chadema[Wakati anayezungumza na Mh Abood] na anayemfuatia kushoto ni Omar Mvambo Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema[BAZECHA] Mkoa wa Morogoro.

Picha na Dustan Shekidele Morogoro.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...