Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, July 31, 2023

KUMBUKIZI YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA


Hii ni uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 Wastara wa Sajuki alijitosa kugombea Ubunge viti Maalumu kwa leseni ya Chama Cha Mpinduzi'CCM' Mkoa wa Morogoro.

Pichani Wastara  akiomba kura kwa wajumbe kwa unyenyekevu mkubwa.

Hata hivyo licha ya Unyenyekevu huo hakufanikiwa kutinga mjengoni Dodoma baada ya kura zake za ndio kuwa chacha huku za hapana zikiwa nyingi kwenye masanduku yake.

 Je Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 Mkali huyo wa Bongo Movi atatinga tena kwa wajumbe kuomba kura za kuingia Ujengoni?.

 .


 Mwandishi wa habari hizi akimhoji Wastara

No comments:

Post a Comment

VITUKO VYA MWEZI JANUARI

  Mwezi uliopita tumeshehelekea Siku Kuu mbili X Mas na Mwaka Mpya.   Mwezi huu dume January tunashehelekea kulipa Ada za Shule na kod...