Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, July 22, 2023

KUELEKEA TAMASHA LA SIMBA DAY AGOST 6.

Mwamba sana akiwasili Morogoro na Anitha[Baiskeri] akitokea Bukoba


Mwanachama wa Simba Odax Alphonce[30]aliyefunga safari kutoka Bukoba Mkoani Kagera kwa usafiri wa baiskeri akielekea  Dar es salaam kwenye tamasha la Simba Day, amewasili leo Mkoani Morogoro na kupokewa na wachama wa Simba tawi la Shujaa.

Habari kamili na Picha Zaidi za tukio hili zitaruka hewani hivi punde hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote.


 

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...