Dogo umepata zari kubwa kupishwa na rais uketi katika kike chake cha urais.
Ushauri wangu kwako kazana na masoma na mtangulize Mungu mbele ndoto zako za kuwa kama Rais Samia zitatimia.
Tukio hili limetokea leo asubuhi jijini Dar.
Na Dustan Shekidele Morogoro, MWANA Morogoro Bondia Karim Mandonga a.k.a ‘Mandonga Mtu kazi’ Mkazi wa Kata ya Mkundi Manispaa ...
No comments:
Post a Comment