Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Friday, July 25, 2025

KILA LENYE KHERI MWANA MOROGORO KARIM MANDONGA.


 

 

    Na Dustan Shekidele Morogoro,

MWANA Morogoro Bondia Karim Mandonga a.k.a ‘Mandonga Mtu kazi’ Mkazi wa Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro, kesho Juai 26 anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na mpinzani wake mkubwa Shabani Kaoneka

Kuelekea pambano hilo la Dar Boxing Derby wana Morogoro wanamsapati  Mandonga huku baadhi ya wakijiandaa kupanda Tren ya mwendokasi [SGR] kuelekea Dar es salaam kumsapoti Mwana Morogoro huyo ‘Salange’ wa Stend ya Msamvu Karim Mandonga[pichani] anayetamba na ngumi yake ya Kilumbilumbi.

 

Je Mandonga baba Kharid ataibuka kidede na ngumi yake hiyo ya Kilumbilumbi au atachezea Vitasa vikari vya Shabani Kaoneka? Swali hili itajibiwa kesho usiku wa Vitasa.

No comments:

Post a Comment

KILA LENYE KHERI MWANA MOROGORO KARIM MANDONGA.

        Na Dustan Shekidele Morogoro, MWANA Morogoro Bondia Karim Mandonga a.k.a ‘Mandonga Mtu kazi’ Mkazi wa Kata ya Mkundi Manispaa ...