Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, April 27, 2023

WATU MAARUFU WALIOSHIRIKI MSIBA WA MTANGZAJI ABOOD MEDIA HAWA HAPA

              Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Fatma Mwassa
Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Divah Mathaman
Mbunge wa Viti Maalumu kwa lesen ya CCM akiwakilisha Mkoa wa Morogoro Mh Christina lshengoma
Mstahiki Meya wa Mji wa Morogoro ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha Soka Mkoa wa Morogoro'MRFA Mhe Pascal Kihanga. kwenye maelezo Yake Kihanga alisema.

" Kijana huyu namfahamu vizrui kwenye harudi yake mimi likkuwa mwenyekiti wa kamati. Mimi pia ni Mwenyekiti wa chama cha Soka Mkoa wa Morogoro na Emma alikuwa Afissa habari wa chama hicho"aliseme Kihanga ambaye pia ni diwani wa kata ya Mazimbu na Mfanyabiashara maarufu wa wa mbao

Mkurugenzi wa Halmashauri wa Wilaya ya Morogoro Vijijini[D.C] M h Rehema Said Bwassi
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini Komredi Fikiri Juma
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mh Aziz Abood  Bw Morris akimwakilisha Mbunge huyu.

 lfahamike Mh Abood toka mziba wa Emma unatokea tulikuwa naye Mochwari akilipita gharama zote,siku moja kabla ya lbada hiyo ya kumuombea Mpendwa wetu Emma Mh Abood ambaye pia anamiliki Viwanda, Mabasi, Malori, Vituo vya Mafuta na Vyombo vya habari'Abood Media alipokea taarifa ya Mama yake aliyekuwa anaumwa hali yake kubadilika ghafla hivyo ilimradhimi kukimbia Dar kumjulia hali mzazi wake huyo. 

 

Mara zote akiwa huko Dar Abood alipiga simu kujua kinachoendelea kwenye lbada hiyo ya kumuombea Emma.

Mchungaji wa kanisa la Anglikana Paleshi ya Kingolwira Magereza Jonas Mshomi aliongoza lbada hiyo nyumbani kw amarehemu Mkambarani nyuma ya baa ya Moseka.
Mwenyekiti wa chama cha Waandoshi wa habari Mkoa wa Morogoro Nickson Mkilanya. lkumbukwe Hayati Emma alikuwa Mwanachama hai wa chama hicho
Kujisifu sio dhambi ila dhambi ni kuziendekeza hizo sifa.

 Mwamba Dustan Shekidele'Mkude Simba' na mimi nilikuwepo kwenye msiba huo wa Mwanachama mwenzangu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Morogoro

                 Mwamba  Emmanuel Victor Mdoe
 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...