Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Wednesday, April 19, 2023

TANZIA, MTANGAZAJI ABOOD MEDIA AFARIKI DUNIA


 

TANZIA.

Mtangazaji Maarufu wa Abood Media Emmanuel Victor amefariki dunia.

 

 Enzi za uhai wake Emma alikuwa akiongoza Vipindi vya Michezo Abood Radio na Abood Televisheni.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Mwendo umeumaliza  tangulia kamanda tutaonana baadae

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...