Mkuu wa Mkoa wa Morogoro leo Mchana ameongoza Mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumuaga Mtangazaji wa Abood Media Hayati Emmanuel Victor Mdoe. Habari kamili na matukio kibao endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote.
Saturday, April 22, 2023
MKUU WA MKOA MORO ANGOZA MAMIA YA WANANCHI KUMUAGA MWANDISHI WA HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.
Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...
-
Mwandishi wa Mtandao akiwa juu ya Mlima Uluguru Mgeta Wilaya ya Mvomero Mwandishi wa Mtandao huu akiwa juu ya Milima hiyo ya Uluguru ak...
-
Na Dustan Shekidele,Morogoro. REHEMA za Mwenyezi Mungu na ziwe juu yenu wadau wote wa Mtandao Pendwa wa Shekid...
-
Morgoro Mji kasoro Bahari. ndiyo kauli ya Waluguru wa Mkoa wa Morogoro. Hii sio Meli na wala sio Uwanja wa Ndege 'Air Port' ni st...
No comments:
Post a Comment