Shabiki namba moja Tanzania aliyekuwa akiishabikia timu ya Reli ya Morogoro ‘Kiboko ya Vigogo’hayati Hamza Godfrey almaarufu ‘Yamungu’akifanya mambo yake uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwenye gemu ya Yanga na Reli. Picha namba 2 Mashabiki wa Yanga wakiifuatilia timu yao ilipokipiga na Polisi Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.
Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...
-
Hayati Sabrina enzi za uhai wake akiwa na Umri wa miaka 4 hadi mauti inamkuta alikuwa na Umri wa miaka 9. Tumeradhimika kutumia Picha hii ...
-
Noera akiwa ‘Location’ Siku ya Send Off yake ama kwa hakika alipendeza haswaa. Picha no Muonekani wa Gari lake mara baada ya ajari ene...
-
Mwili wa Mpendwa wetu Sabrina ukiswaliwa kabla ya kuelekea makabulini kupunzishwa kwenye nyumba yake ya Milele ....Wanafunzi wenzie wa ali...
No comments:
Post a Comment