Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, April 8, 2023

KUMBUKIZI. ya SHABIKI NAMBA MOJA TANZANIA



 


Shabiki namba moja Tanzania aliyekuwa akiishabikia timu ya Reli ya Morogoro ‘Kiboko ya Vigogo’hayati  Hamza Godfrey almaarufu ‘Yamungu’akifanya mambo yake uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwenye gemu ya Yanga na Reli. Picha namba 2 Mashabiki wa Yanga wakiifuatilia timu yao ilipokipiga na Polisi Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...