Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, February 16, 2023

MKURUGENZI WA TAASISI YA WALEMAVU AFUNGUKA ISHU YA WATOTO OMBA OMBA KULAWITIWA


 Kaiumu Mkurugenzi Mjuu wa NODICO Bi Stella Kisala akizungumzia ishu hiyo, msiki Mubashara kwenye Clip Video kwenye facebook za Dustan Shekidele na Shekidele Mkude simba

 

 

 

Na Dunstan Shekidele,Morogoro.

Maadhimisho ya siku ya wapendanao dunia’Valentine Day’Taasisi ya Walemavu ya Morogoro Disability Devolopment and  lmformation Center Organization’MODICO’imefanikiwa kuonyesha Upendo kwa Watoto 30 wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa kuwatoa mtaani na kuwapeleka shuleni.

 

Akizungumza kwenye hafra ya kusheherekea Valentine Day waliojiandalia wenyewe kupitia taasisi yao ya MODICO wakiwa na lengo la kuonyeshana Upendo wenyewe kwa wenyewe Siku hiyo ya Wapendanao, kaimu Mkurugenzi wa  MODICO Stella Kisala alifunguka mazito juu ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu akigusia ishu ya Ulawiti huku akidai wameshafanikiwakuwanasua watoto 30 wanaoishi kwenye mazingira magumu.

 

 Msikie Mkurugenzi huyo akifunguka mazito juu ya tukio hilo  kwenye kurasa za facebook za Dustan Shekidele na ile ya Shekidele mkude simba

 

 

 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...