Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Tuesday, January 24, 2023

STEND IPI KALI KATI YA STEN YA DAR NA MORO

                              Stend ya Magufuli
Rais wa awanu ya tano Hayati John Pombe Magufuri enzi za Uhai wake
                    Stend ya Mabasi ya Msamvu Morogoro

 


 

Kwa sasa stend bora za mabasi Tanzania na ukanda wa Afrikari Mashariki na Kati ni mbili.

 

 Stend ya Mabasi ya Msamvu iliyopo eneo la Msamvu Morogoro yenye Muonekana kama Meli na Stend ya Magufuri iliyopo Mbezi jijini Dar es salaam yenye Muonekano wa Kipekee.

 

 Pichani zaidi ya mabasi 20 Mapya ya kampuni Pendwa ya Abood yenye makao yake Makuu Mkoani Morogoro yakiingia  Stend ya Magufuri yakitokea Bandarini.

 

Watanzania tunabahati ya kupata vitu vizuri lakini changamoto yetu ni kuvitunza vitu hivyo nakumbuka Mwaka jana baadhi ya wafanyakazi wa kampuni moja ya mabasi walinipigia simu wakidai Vyoo vya Stend hiyo Mpya ya Msamvu vimefungwa kufuatia baadhi ya watu kuiba koki za bomba ndani ya vyoo hivyo hali iliyopelekea vyoo hivyo kukosa Maji.

 

Swali kwa Mdau wa Mtandao wa Shekidele kati ya Stend hizo mbili ili kali zaidi ya nyingine ya Moro au ya Dar?

 

Baada ya siku chache wahusika waliweka koki nyingine na kuvifungua Vyoo hivyo vya kisasa.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...