Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, January 22, 2023

KAULI YA YA SHEKIDELE MKUDE SIMBA.

                    Shekidele Mkude Simba Arsenal lia lia

 


“Nidhambi kubwa kukata tamaa kwa Jambo ambalo hujui mwisho wake utakuwaje.”

 

Kuna Mtu anabisha kuhusu timu bora ya Arsenal Kutwaa Ubingwa wa England Msimu huu?”

 

Usiku huu Arsenal Washika bunduki wa Jiji  la Maraha la London imeinyuka bila huruma timu inayoshikiliwa na  Madalali  kwa sasa baada ya kutangazwa kuuzwa naizungumzia  Manchester United Kwa bao 3-2 na kukata ngebe za mashetani hao wekundu.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...