Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Tuesday, December 13, 2022

YUWAPI MSANI HUYU WA SINGELI?


                                                Man Fongo

 KUMBUKIZI

 

Mkali huyu wa Muziki wa Uswazi;Singeli’ kwa sasa nyota yake imefifia huku nyota ya Dulla Makabila ikizidi Kung’ara kwenye Muziki huo wa Singeli Michano.

 

Pichani aliyekuwa mkali wa Singeli nchini Man Fongo akihojiwa na Mwandishi wa Mtandao huu hii ni Miaka 4 iliyopita. Wakati huo Mkali huyo akiitikisa nchini na Muziki huo wa Uswazi akila sahani Moja na Mwasisi wa Muziki huo Msagasumu

 

No comments:

Post a Comment

VITUKO VYA MWEZI JANUARI

  Mwezi uliopita tumeshehelekea Siku Kuu mbili X Mas na Mwaka Mpya.   Mwezi huu dume January tunashehelekea kulipa Ada za Shule na kod...