Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, December 17, 2022

KUMBUKIZI YA KIFO CHA MNENGUAJI MAARUFU NCHINI.


 Aisha Madinda akifanya yake kwenye mmoja ya kumbi za starehe enzi za Uhai wake


 

Tarehe kama ya leo 17- 12- 2014 Mnenguaji Mahiri wa band ya Afrikan Stars’Twanga Pepeta’Aisha  Mbegu Maarufu 'Aisha Madinda' Mpendwa wetu huyo alifariki dunia

Mashabiki wako tutakukumbuka daima Mpendwa wetu leo umetimiza miaka 8 toka ututoke.  tutaonana baadae Aisha,

 

‘Bwana ametoa na Bwana ametwa jina lake lihimidiwe,punzika kwa amani Aisha Madinda’

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...