Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, October 30, 2022

UJUMBE MZITO WA NENO LA MUNGU

Siku niliyompeleka hospital Mama Yangu Mpendwa niliyekaa tumboni mwake miezi 9 Bi. Tumain Samwel Juma ‘Mrs Shekidele’ kupima Typhoid.


 Nikiwa na bibi yangu Mzaa Mama Bi Kete Abdallah hii ni Mwaka 2017 kwenye sherehe yake ya kuzaliwa \Happy Birthday' iliyofanyika nyumbani kwake Gongola Mboto Banana Moshi Baa Jijini Dar es salaam alipotimiza miaka 101.

 Pichani mpendwa mke wangu wangu kipenzi my Number One bibi yangu akinipa wosia kwa Lugha ya Kisambaa. Mpendwa bibi yangu mwaka 2019 alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 103

ZABURI 71-6

 “ Nimekutegea wewe tangu kuzaliwa,ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu,

Ninakusifu wewe daima.nimekuwa kitu cha ajabu kwa watu wengi na wewe ndiwe kimbilio langu la nguvu.

 

Kinywa changu kitajazwa sifa zako na heshima yako mchana kutwa”.Hilo ndilo neno letu la leo Jumapili ya Octobar 30

           

 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...