Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, September 25, 2022

UJUMBE WA NENO LA MUNGU LEO JUMAPILI, MUNGU AMEAGIZA TUKAIJAZE NCHI.

Mtumishi wa Mtandao huu Pichani Kulia alitii agizo hilo la Mungu akaijaza nchi ya Tanzania kwa kuwaleta duniani watoto wawili aliofanana nao Tumaini Dastan Shekidele[[kushoto] na Neema Dastan Shekidele[Kati]
                                             Tumaini na Neema
...Tumaini na Neema wakiwa na Afande Sele ambaye ni rafiki mkubwa wa baba yao

 Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya Mkali wa Mashairi Seleman Msindi' Afande Sele' akimkisi Mwanae Neema Dustan Shekidele

 

MWANZO 1. 27-29

“Mungu akaumba Mtu kwa Mfano wake,kwa mfano wa Mungu,alimwumba mwanaume na mwanamke aliwaumba.

 

Mungu akawabariki.Mungu akawaambia, Zaeni Mkaongeze,mkaijaze nchi na  kuitisha mkatawale Samaki na bahari na ndege wa angani na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

 

Mungu akasema tazama nimewapa kila mche utoao mbegu,ulio juu ya uso wa nchi yote pia na kila mti ambao matunda yake  yana mbegu  vitakuwa ndio chakula chenu”Hilo ndilo neno letu la Mungu leo Jumapili Septemba 25.                                          


No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...