Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, September 29, 2022

MASHINDANO YA BANDARI 2022 BANDARI TANGA WAWATOA NISHAI BANDARI TANGA.


Mabaunsa wa bandari Dar licha ya kutuma kama nungu nungu lakini walivutwa kama ngoma na wababe wao Bandari kutoka jiji la mahaba la Tanga


..Wababe wa Dar Bandari Tanga wakiwavuta  mabaunsa wa Bandari Dar nje ndani

 


Na Dunstan Shekidele.Morogoro. 

Mashindano ya bandari na Maziwa yamezinduliwa Septemba 26 kkwa mchezo wa kuvuta kamba kati ya Mabaunsa wa kiume wa Bandari Tanga na wenzao wa bandari Dar es salaam.

 

Katika mchezo huo ulioshuhudiwa na Mgeni rasmi Waziri wa Habari. Vijana, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mh Tabia Maulid Mwita, Mabaunsa wa bandari Tanga a.k.a Watu Kazi[Jezi za Bluu] waliwatoa ushamba Mabaunza wa Bandari Dar es Salaam[Jezi rangi ya bahari] kwa kuwavuta katika michezo yote miwili.

 

Baadae Mtandao huu utarusha hewani mabausa wa kike wa timu hizo wakionyeshana umwamba,hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...