Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Friday, May 27, 2022

KUMBUKIZI. AFANDE SELE SIMBA WA MOROGORO AFURAHI KUTEMBELEWA NA WATOTO WA PAPARAZI




 


Msanii Mkongwe nchini wa Muziki wa Kizazi Kipya Seleman Msindi ‘Afande Sele’akiwa na Tumain Dunstan Shekidele’Kulia’na Neema Dunstan Shekidele[Kushoto].

 

 Tumaini ambaye ni mtoto wa kwanza wa Mwandishi wa habari hizi amesoma darasa la kwanza mpaka la 7 na Mtoto wa kwanza wa Afande Sele Tundajema’ Maarufu Tunda Katika shule ya Msingi Nguzo iliyopo jirani na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

 

 Mwendelezo wa Matukio ya kumbukizi ya Miaka 9 ya Kifo cha Msanii Albert Mangweha yataendelea kesho ambapo pia hiyo kesho Mei 28 ndio  kilele cha Kumbiziki hiyo.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...