Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, February 26, 2022

KUMBUKIZI.KAMPENI ZA UCHAGUZI 2015 MORO.



 


Wagombea  Uras  John Pombe Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wa UKAWA walipotinga Mkoa Morogoro kwa nyakati tofauti kwenye  Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kuomba Kura.

  Lowassa[kulia] akisoma gazeti na Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Kiwanja cha Ndege Mkoani Morogoro Muda mfupi kabla ya mkutano wa kampeni kuanza.

 

Mawaziri hao Wakuu wastaafu kwa sasa Wamerejea CCM.

 

Picha no 2 Rais  Mstaafu Jakaya Kikwete akiteta jambo na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM  Mzee Yusuf Makamba’Mgosi’ kwenye Mkutano wa Kampenzi uliofanyika Uwanja wa Jamhuri Morogoro, Vigogo hao wa CCM walitinga kwenye Mkutano huo kumnada Mgombea wao wa Urais Marehemu John Pombe  Josef Magufuri’JPM.’

Katika uchaguzi huo Marehemu Magufuri aliibuka kidedea huku Lowassa akiambulia nafasi ya Pili. Picha na Dunstan Shekidele,

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...