Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, February 24, 2022

KUMBUKIZI.BAHATI BUKUKU AMPAGAWISHA MLEMAVU

Mlemavu akienda kumtunza Bahati Bukuku baada ya kuguswa na mahudhui ya wimbo wa Dunia haina hurumam uliotungwana na kuimbwa na Msanii huyo wa Muziki wa lnjiri nchini
Bahati Bukuku akizungumza na Mwandishi wa Mtandao huu
 


Mwimbaji nyota wa muziki wa lnjiri nchini Bahati Bukuku.amempagawisha Mlemavu na wimbo wake wa ‘Dunia haina huruma.

’ Mara baa ya kuimba wimbo huo kwenye tamasha la lnjri lililofanyika mwaka 2013 Uwanja wa Jamhuri Morogoro.

Mlemavu huyo alishindwa kujizuia na kupanda jukwaa na kumtunza Pesa Bahati Bukuku’Double B’

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...