Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, February 28, 2022

KUMBUKIZI. HABARI YA KIJAMII


 


Bw Athuman Rajab akishika tama kwa uchungu akiwa nje ya nyumba yake baada ya mkewe kufariki dunia akidaiwa kuteleza na kutumbukia kwenye kisima cha Maji Kijiji cha Dakawa Wilaya ya Mvomero Mkoa Morogoro. 
 
Baada ya kutokea kwa tukio hilo Mwaka 2012 Mwandishi wa habari hizi alipiga gia Pikipiki yake aina ya Honda 110[Pichani] na kutinga kwenye kijijini hicho na kufanikiwa kuzungumza na Mume Marehemu ambaye alifunguka Mazito.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...