Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, February 28, 2022

KUMBUKIZI. HABARI YA KIJAMII


 


Bw Athuman Rajab akishika tama kwa uchungu akiwa nje ya nyumba yake baada ya mkewe kufariki dunia akidaiwa kuteleza na kutumbukia kwenye kisima cha Maji Kijiji cha Dakawa Wilaya ya Mvomero Mkoa Morogoro. 
 
Baada ya kutokea kwa tukio hilo Mwaka 2012 Mwandishi wa habari hizi alipiga gia Pikipiki yake aina ya Honda 110[Pichani] na kutinga kwenye kijijini hicho na kufanikiwa kuzungumza na Mume Marehemu ambaye alifunguka Mazito.

No comments:

Post a Comment

VITUKO VYA MWEZI JANUARI

  Mwezi uliopita tumeshehelekea Siku Kuu mbili X Mas na Mwaka Mpya.   Mwezi huu dume January tunashehelekea kulipa Ada za Shule na kod...