Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, February 14, 2022

ISHU YA MAITI KUZIKKWA MARAMBI MKE WA MAREHEMU AFUNGUKA


 

EXCLUSIVE
ISHU ya Maiti kudaiwa kuchanganywa chumba na kuhifadhi Maiti hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro iliyopelekea kaburi kufukuriwa na Maiti kuzikwa mara ya pili,mke wa Marehemu afunguka Mazito.
 
Jana Mtandao huu umefanikiwa kuzungumza na Bi Patricia Marck ‘Mrs Mkude’.huku akidai baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti tufauti tukio la Mpendwa Mume wake kuzikwa mara mbili hivyo kupitia Mtandao huu amejariku kuweka sawa jambo hilo. 
 
Nini amesema endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote

No comments:

Post a Comment

SIMBA KUTINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO MLEMAVU AMTOA MACHOZI SHABIKI WA YANGA

  .        Na Dustan Shekidele,Morogoro.  UKISTAAJABU ya Mussa hutoyaona Filahuni.     Baada ya Simba kutinga Nusu fainali michuano ya K...