Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, January 20, 2022

UTALII WA NDANI.

Nimetembelea Jumba la makumbusho ya Azimio la Arusha ambalo liko eneo la Kaloleni Jijini Arusha.
....Niko kwenye Mnara  uliopo jirani na Jengo hilo la Makumbusho ya Azimio la  Arusha nikijianda kuingia kwe nye Mjengo huo

 ....Hili ndio jumba ambalo ndani yake kuna Makumbusho mbali mbali yakiyemo ya Azimo la Arusha



No comments:

Post a Comment

SIMBA KUTINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO MLEMAVU AMTOA MACHOZI SHABIKI WA YANGA

  .        Na Dustan Shekidele,Morogoro.  UKISTAAJABU ya Mussa hutoyaona Filahuni.     Baada ya Simba kutinga Nusu fainali michuano ya K...