Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, January 24, 2022

KUMBUKIZI.


 


Matajiri wa Mkoa wa Morogoro, Kulia Mh Abdulaziz Mohamed Abood ambaye anamiliki Mabasi ya Kampuni ya Abood, akisalimiana na  Mohamed Hood ambaye anamiliki Kampuni ya Mabasi ya Hood.

 

Makada hao wa CCM walinaswa na Kamera za Mtandao huu kwenye Moja ya Mikutano ya Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ iliyofanyika eneo la Maskani Manispaa ya Morogoro.

 

Abood  ni Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kupitia CCM huku  Mzee Hood akiwa  diwani Mstaafu wa Kata ya Mji Mkuu Kwa leseni ya CCM.

 

Waarabu hawa Wazaliwa wa Mkoa wa Morogoro enzi hizo walikuwa na Upinzani Mkali wa Kibiashara, kabla ya Upinzania huo kufa baada ya Mabasi ya Hood kutoonekana barabarani huku yale ya Abood ‘King Of The Road’ yaliendelea kusambaa kwa kasi Mikoa mbali mbali ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...