Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, December 20, 2021

HATIMAYE LUMBESA LA TAKATAKA LAONDOLEWA KATIKATI YA BARABARA

             Baada ya Takataka hizo kuondolewa barabarani

                 Kabla ya takataka hizo kuondolewa barabarani

 Hatimaye lundo la takataka lililotelekezwa barabani limeondolewa baada ya Mtandao huu kuripoti kero hiyo ya wananchi wa Mtaa wa Makondeko Kata ya Mwembesongo Manispaa ya Morogoro.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...