Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, November 29, 2021

WANANCHI MORO WAVUTANA JUU YA MAREHEMU KUPEWA JINA LA HAYATI


 


Na Dunstan Shekidele,Morogoro.
Wiki iliyopita Mwandishi wa wa Mtandao huu akiwa mitaani akisaka matukio aliwashuhudia wananchi wakiwa kwenye mvutano makali juu ya Marehemu kuitwa hayati.
Upande mmoja alisema Marehemu kuitwa Hayati ni kiswahiri fasaha huku Upande wa pili ukidai kwamba Marehemu kuitwa hayati ni makosa makubwa.
Mvutano huo ulikamilika huku kila upande ukishikilia Msimamo wake, ili kupata majawabu ya uvutano huo Mwandishi wa habari hizi aliamua kumtafuta Mwenyekiti wa Usanifu wa Lugha na Ushahiri Tanzania’UKUTA’ Mkoa wa Morogoro Shehe Twaha Kiobya,[Pichani akihojiwa na Mtandao huu] alitoa jibu sahihi la jambo hilo huku akilitaja Baraza la Kiswahiri Tanzania’BAKITA’.
Clip Video ya mahojiano hayo yenye majibu ya swali hilo itaruka hewani hivi Punde hivyo nakusihi utembelea Mtandao huu muda wote.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...