Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, October 31, 2021

PADRI AIMWAGIA MAJI YA BARAKA PIKIPIKI YA MWANDISHI WA HABARI.


Padri akiendelea kuimwagia Maji ya baraka Pikipiki hiyo

Pikipiki hiyo ikijianda kuingia Mboga ya wanyama ya Mikumi Majira ya saa 12 Jioni akielekea Kilombero

Pikipiki hiyo ikiwa katikati ya Msitu Mnene ikielekea Matombo  Wilaya ya  Morogoro Vijijini
Pikipiki hiyo ikijianda kupanda Mlima wa Ng'aro Kijiji cha Kiloka Wilaya ya Morogoro Vijijini

...Wakati Pikipiki hiyo ikitokea Kilindi Mkoani Tanga ilipofika Tarafa ya Turiani Wilaya ya Movomero ilipasuka Mpira wa Nyuma baada ya kukanyaka Kisiki. Tukio hili lilitokea kabla ya Padri huyo ajaimwagia Maji ya baraka Pikipiki hiyo ya kazi
....Pikipiki hiyo ikiwa katikati ya Soko Kuu la Wilaya ya Kilosa
Pikipiki hiyo ikiwa Soko Kuu la Mkuyuni Morogoro Vijijini
Pikipiki hiyo ikiwa Kijiji cha Melela Mlandizi Wilaya ya Movomero
 

Padri wa Kanisa Katoli Jimbo la Morogoro Parokia ya Area Five Nane Nane katika kudhamini mchango wa Pikipiki ya Mwandishi wa Mtandao huu inayosafiri usiku na mchana Wilaya zote za Mkoa wa Morogoro, kwenye Misitu Minene na Mbunga za Wanyama wakali. 
 
Mwana habari huyo akitafuta habari za kijamii hasa za kuwatetea wanyonge hivyo Mtumishi huyo wa Mungu aliamua kukimwagia Maji ya baraka chombo hicho kwa lengo la kukiondolea Mikosi mbali mbali zikiwemo ajari.
 
Kwa niaba ya wananchi hao Wangone Mwandishi wa habari hizi anamshukuru Mtumishi huyo wa Mungu kwa kutambua jambo hilo.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...