Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, October 30, 2021

BABA NA MWANA

Haji Manara aliyesimama akiwa na baba yake Mazazi Mzee Sundar Manara'Computer'
                Shiza Kichuya Kulia na baba yake mazazi
                        Adamu Seleman kulia  na Mwanaye
 

.
Picha no 1
 Mchezaji wa zamani wa Yanga na timu ya Tifa ya Tanzana Mzee Sundar Manara[Aliyeketi kwenye kiti akiwa na Mwanaye Haji Manara ambaye kwa sasa ni Afisa habari wa Yanga. Wawili hao walinaswa na Kamera za Mtandao huu kwenye Msiba wa Mwalimu Mohamed Msomari Mtaa wa Stesheni Manispaa ya Morogoro. siku kadhaa zilizopita.
 
Picha no 2
Winga wa zamani wa Simba Shiza Kichuya[kulia] ambaye kwa sasa anakipiga timu ya Namungo ya Lindi akiwa na baba yake Mazazi Ramadhana Kichuya, mara baa ya mazoezi yaliyofanyika uwanja wa Shule ya Msingi Msamvu baada ya msimu wa ligi kuu kukamilika miaka kadhaa iliyopita.
Picha no 3 
 
Beki wa zamani wa Simba Adam Seleman 'TATA' kulia akiwa na Mwanaye Miraj Adam Selema ambaye naye miaka kadhaa iliyopita akiitumikia timu ya Simba kabla ya kuachwa na timu hiyo baada ya kuvunjika Mguu kwenye gemu ya Simba na Mgambo ya Tanga.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...