Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, September 26, 2021

UJUMBE WA NENEO LA MUNGU LEO JUMA;ILI

Mwandishi wa habari hizi akipokea wosi kutoka kwa bibi yake Mzaa Mama, Bi Kete Abdallah Batimayo[103].
Jeneza lililobena Mwili wa bibi Kete likiwa hospital ya Amana Jijini Dar kabla ya kusafirishwa kuelekea kijijini kwake  Tarafa ya Mlalo Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga kumpunzisha kwenye nyumba yake ya Milele.

 Bibi Kete  alifariki dunia mwaka juzi akiwa na umri wa miaka 103



 

 

                              1TIMOTHEO 4. 14-16

 

“Usiache kutumia karama ile iliyomo ndani yako,uliyopewa kwa Unabii  kwa kuwekewa mikono na Wazee.

 

Uyatafakari hayo ukae katika hayo  ili kuendelea kwako  kuwe dhahiri kwa watu wote.

 

Jitunze nafsi yako  na mafundisho yako.Dumu katika Mambo hayo maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia”

 

Hili ndio neno letu la leo Jumapili ya Septemba 26.

                  

Hayati bibi Kete ameacha watoto 3 Tumaini  Samwel Juma, Mrs Shekidele. David Samwel Juma na Neema Samwel Juma’Mrs Mulokozi.

 

Pia ameacha wajukuu.Vitukuu na Vilembwe zaidi ya 200

“Bwana ametoa na Bwana ametwa Jina lake lihimidiwe’

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...