Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, August 22, 2021

JUMBE WA NENO LA MUNGU LEO JUMAPILI

Hii ni jana nikiwa kwenye moja ya baa zilizopo katikati ya Mji wa Morogoro, nikipiga kazi kusaka ridhiki  ili niwatunze walio wangu wakiwemo Ndugu na Jamii yenye  shida mbali mbali naamini hao pia ni wangu.

 


                                    1Themotheo 5-8

“Lakini mtu ye yote asiyewatunza waliowake,yaani wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana lmani tena ni mbaya kuliko mtu  asiyeamini”Hilo ndilo neno letu la leo Agost 22.  

   

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...