Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, February 22, 2026

ARSEBAK BABA LAO 2526






 

LIGI kuu England
"Hali halisi husema Kweli kuliko mtu kusema chochote"
 
Kauli hii imedhihirika usiku huu baada ya timu Bora duniani kwa sasa Arsenal kuwanyuka wemyeji wao Tottenham Hospur bao 4-1
 
Hali halisi inaonyesha pichani mashabiki wa Spur wanao ishi mbali na mji, Bunju.Tegeta Nyuki.Mbezi Mwisho Chamazi.
 
Hooo wanaisusa timu yao na kuondoka uwanjani vichwa chini Wana kwemda kununia kwako.

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...