Mtandao huu unampongeza Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe Poul Christian Makonda kuteuliwa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan Kuwa Waziri wa Hahari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.
Ikumbukwe kabla ya Utezi huo uliofanya jana Alhamis Januari 8 Mhe Makonda alikuwa Naibu waziri wa wa Wizara hiyo,ambapo akiwa naibu waziri aliingoza timu ya Taifa ya Tanzania nchini Morocco kufudhu kwa Mara ya kwanza hatua ya 16 ya michuano ya Mataifa ya Afrika ‘AFCON 25’.
Pichani Mwandishi wa habari hizi [kushoto]akizungumza na Mhe Makonda.

No comments:
Post a Comment