Teresphori Mkude wa Roman Katoliki Jimbo la Morogoro
Maaskofu hao
kwa sasa wamestaafu Mameo akistaafu mwezi uliopita na Mkude alistaafua takribani miaka 5 iliyopita.
ISSA 57.18-21
“Nimeziona njia zake nami nitamponya nitamuongoza pia nitamrudishia faraja zake yeye na hao wanaomlilia.
Mimi nayaumba matunda ya midomo,Aman,amani kwake yeye aliye mbali na kwake yeye aliye karibu aseme Bwana nami nitamponya.
Bali wabaya wanafanana na bahari iiyochafuka maana haiwezi kutulia na maji yake hutoa tope na takataka.
Hapana Amani kwa wabaya asema Mungu wangu[There is no peace saith my God to the wicked]”
Huu ndio ujumbe wetu wa Neno la Mungu Leo Jumapili ya Julai 20-2025.
Mwenye masikio na alisikie neno hili la Mwenyezi Mungu Muumba wa mbingu na Ardhi.
No comments:
Post a Comment