Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Friday, October 11, 2024

MH DIWANI AONGOZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA.

Mama Kiula akijiandikisha kwenye Daftari hilo hii leo.

     Na Dunstan Shekidele Morogoro.

Diwani wa Kata ya Mji Mpya Jimbo la Morogoro Mjini Mh Emmy Kiula.Maarufu Mama Kiula Leo amewaongoza wananchi wa Kata hiyo kujiandikisha kwenye Daftari la Makazi.

Mama Kiula amejiandikisha kwenye mtaa anaoishi wa Ngoma A uliopo kando kando ya Mto Morogoro.



 

Zoezi hilo litakalodumu kwa siku 10 limezinduliwa Leo na Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mara baada ya wananchi kujiandikisha watakuwa na haki ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Vijijim Vitongoji na MItaa uliopangwa kufanyika Novembar 27.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...